{[['
']]}
Ndo jina la mrembo
wangu,alizaliwa October 24,1994 California marekani,lakini baadae
alirudi Korea na kuingia rasmi kwenye entertainment ,no mwigizaji na
mwanamziki was kundi linaitwa f(x) kule mahome,alianza kuimba 2009,na
baadae akaanza kuigiza kazi zake ni %The heirs %The bride of
habaek(water god) (mpyahii chekitout)
Post a Comment